Yule Miquissone ndo huyu sasa, Robertinho afunguka...
Cosmopolitan yalifungwa na Moses Phiri, Jean Baleke, Willy Onana, Kramo na Shaban Chilunda, huku bao la wapinzani wao likifungwa na Mohammed Samatta kwa mkwaju wa penati baada ya Shomari Kapombe...